FARIDA OTHMAN: DARASA LA MWEZ WA TANO LIPIA MAPEMA TUNA MAMBO MAZURI KWA AJILI YENU
TUNATOA MAFUNZO YA UREMBO
(COSMETOLOGY na HAIRDRESSING)
MAFUNZO YETU NI KWA VITENDO na THEORY...
Bado Tunaendelea kupokea wanafunzi wa DARASA LIJALO LITAANZA 03/05/2021
JIUNGE NA MAFUNZO YETU..(Gharama ya Fomu ni elf 10,000 tu)
TUNATOA MAFUNZO YAFUATAYO
1.✨ HAIR DRESSING
✅ Kusuka Nywele mitindo mbalimbali
✅Kubond na kushonea weaving
✅Kutengeneza Dred
✅Kubana Mywele mitindo mbalimbali
✅Hair treatment (kuosha,kuseti,kuweka dawa n.k)
✅Kutengeneza vibanio✅Jinsi ya kutunza nywele n.k
2.✨ BEAUTY THERAPY
✅ Kupamba maharusi (Bridal makeup)
✅Simple makeup
✅Full makeup
✅Kufunga vilemba
✅Kubana nywele kwa maharusi
ADA YA HAIRDRESSING NA BEAUTY THERAPY NI LAKI TATU (300,000)
MUDA MIEZI MITATU
NOTE:::: AJIRA NI UHAKIKA BAADA YA KUMALIZA MAFUNZO
3✨ COURSE YA MWEZI MMOJA
✅Makeup na kilemba✅Full makeup na simple makeup
✅Kubana nywele kwa maharusi
ADA YAKE NI LAKI MOJA NA NUSU (150,000)
Muda MWEZI MMOJA
4.✨ MAKEUP NA KILEMBA
Ada yake ni 100,000
Muda mwezi mmoja
✨✨✨✨✨ MAHITAJI YA MWANACHUO::::✨✨
1.Tshet 15,000
2.Nywele/Rasta za mazoezi ,Uzi n.k
3.Makeup brush set -20,000 @makeup_storetz
4.Daftari mbili
5.Uniform( sare ni shati blue bahari,sketi,suruali ni dark blue)
6.HOSTELI ZIPO KWA MNAOTOKA MIKOANI AU MNAOTOKA MBALI GHARAMA YAKE NI 100,000 Kwa mwezi (Unapata huduma za muhimu Kitanda, maji,Godoro,Umeme vyote unavipata) miezi mitatu ni 300,000
Chakula unanunua canteen
Note: Hostel zetu zina mazingira mazuri na yenye usalama
TUPO TEGETA AZANIA
KUJIUNGA NASI WASILIANA NASI 0657292650
@farida_makeup_artist
@farida_makeup_artist @farida_makeup_artist Muda wa Darasa
Asubuhi::: 4:00 had sa 9:00
Jioni ::: 9:00 had sa 12:00
MAFANIKIO HUANZA NA UTHUBUTU CHUKUA HATUA SASA
KWA WOTE WANAOSOMA KWETU AJIRA NI YA UHAKIKA TUNAKUTAFUTIA KAZI BAADA YA MAFUNZO
Mafunzo yetu ni kwa jinsia zote WANAWAKE NA WANAUME PIA USIKOSE KUTEMBELEA PAGE YETU YA YOUTUBE GUSA LINK KWA BIO YANGU
Kindly SUBSCRIBE
https://youtu.be/40lNlId1zgA
MAFUNZO YETU NI ENDELEVU
Ivonne Odhiambo: Thnx so much i have learned a lot pls show me how to do short weave for beehive
Carolina Robert: Ewaaaaaaaa this is what I needed, thanks madam Farida
Emmy John: Napenda tufundishe na kushonea wiving ya croja
Moses Beatrice: Thanks madam tunaomba utufundishe jinsi ya kushonea kroja
Naomy Godwell: Woow nzuri sana
mary mfugale: Kila siku nazidi kujifunza yaani..asante dada..binafsi naomba utume video inayofundisha jinsi ya kubana knotless hasa kile kidoti kinakuwa kama kimepandiana (sijui kinaitwa kidoti cha ngazi ngapi)
Zawadi Mkumbo: Unafundisha vizuri sana Mungu akubariki binafsi kila siku naongeza ujuzi
sherlyne momi: Asante kwa kushare...naomba utuonyeshe insi yaju fix weave both short na long
Jamillah Lukwamba: waooooo ♥️
Yuster Peter: Nimependa natamani kujua kusuka sijui hata nywele za mkono
Poline Kinya: Hata sijui niliiendea nn shule juu you are actually my teacher najifunzanga na ww thank you darling
ester madinda: Kila sikuu naongeza kitu kipya na ujuzi unaongezeka kwaajili yako Dada anguu Asante Barikiwa sanaa
cecy mugisha: Apo kwenye kuongeza farida sielew Mana namuona anaiweka anasuka kwa juu Kisha kuelekea chin
tausi hamissi: Nimependa
Happy Sarara: Kazi nzuri Sana ongera . Ni mafuta gani unatumia au ni jeli ya aina gani my ningependa kujua
Nasra issa: Mungu azid kukutunza dia kazi nzuri sanaaa
Fatuma Rashidi: Uko vizur na mungu akubariki
Babra Mgaya: Nawapenda jmn natamn nijue Kama nyinyi I really love u drs
Jacob Lulenga: Dada nataman Sana kuja kusomea hapo kwako
Saumu Athuman: Nice job tunajifunza mengi sn
Romy husebius: Nice
Pili Juma: Nawapenda sana
Queenshila Patric: Ninzuri nimeelewa
Dorcas Asha: Hi farida asante sana napenda darasa lako ila niko arusha hongera sana. Maajaliwa nikipata per a nitakuja kujifunza.
Sabrina Juma: Hivi dada unaweza ukachukua miez miwili ukalipia maana mm sipo tz nataka nije nikae miez miwili vp naweza lipia miwili alafu nikaondoka au ni had ulipie mitatu
Stompy Munene: Waw
Lilian Peter: Ni nzur saana ila hapo kwenye kuongeza akisha ongeza anavyoisukia ile aloongeza ndo sijaona vizur mkono wake ulikua unazikinga kidogo
Edina Edson: Asant kwa somo hili nimejinza na mimi
Lolo: Kusuka ni shngapi nataka kuja kusuka knotless?
Comments
FARIDA OTHMAN: DARASA LA MWEZ WA TANO LIPIA MAPEMA TUNA MAMBO MAZURI KWA AJILI YENU TUNATOA MAFUNZO YA UREMBO (COSMETOLOGY na HAIRDRESSING) MAFUNZO YETU NI KWA VITENDO na THEORY... Bado Tunaendelea kupokea wanafunzi wa DARASA LIJALO LITAANZA 03/05/2021 JIUNGE NA MAFUNZO YETU..(Gharama ya Fomu ni elf 10,000 tu) TUNATOA MAFUNZO YAFUATAYO 1.✨ HAIR DRESSING ✅ Kusuka Nywele mitindo mbalimbali ✅Kubond na kushonea weaving ✅Kutengeneza Dred ✅Kubana Mywele mitindo mbalimbali ✅Hair treatment (kuosha,kuseti,kuweka dawa n.k) ✅Kutengeneza vibanio✅Jinsi ya kutunza nywele n.k 2.✨ BEAUTY THERAPY ✅ Kupamba maharusi (Bridal makeup) ✅Simple makeup ✅Full makeup ✅Kufunga vilemba ✅Kubana nywele kwa maharusi ADA YA HAIRDRESSING NA BEAUTY THERAPY NI LAKI TATU (300,000) MUDA MIEZI MITATU NOTE:::: AJIRA NI UHAKIKA BAADA YA KUMALIZA MAFUNZO 3✨ COURSE YA MWEZI MMOJA ✅Makeup na kilemba✅Full makeup na simple makeup ✅Kubana nywele kwa maharusi ADA YAKE NI LAKI MOJA NA NUSU (150,000) Muda MWEZI MMOJA 4.✨ MAKEUP NA KILEMBA Ada yake ni 100,000 Muda mwezi mmoja ✨✨✨✨✨ MAHITAJI YA MWANACHUO::::✨✨ 1.Tshet 15,000 2.Nywele/Rasta za mazoezi ,Uzi n.k 3.Makeup brush set -20,000 @makeup_storetz 4.Daftari mbili 5.Uniform( sare ni shati blue bahari,sketi,suruali ni dark blue) 6.HOSTELI ZIPO KWA MNAOTOKA MIKOANI AU MNAOTOKA MBALI GHARAMA YAKE NI 100,000 Kwa mwezi (Unapata huduma za muhimu Kitanda, maji,Godoro,Umeme vyote unavipata) miezi mitatu ni 300,000 Chakula unanunua canteen Note: Hostel zetu zina mazingira mazuri na yenye usalama TUPO TEGETA AZANIA KUJIUNGA NASI WASILIANA NASI 0657292650 @farida_makeup_artist @farida_makeup_artist @farida_makeup_artist Muda wa Darasa Asubuhi::: 4:00 had sa 9:00 Jioni ::: 9:00 had sa 12:00 MAFANIKIO HUANZA NA UTHUBUTU CHUKUA HATUA SASA KWA WOTE WANAOSOMA KWETU AJIRA NI YA UHAKIKA TUNAKUTAFUTIA KAZI BAADA YA MAFUNZO Mafunzo yetu ni kwa jinsia zote WANAWAKE NA WANAUME PIA USIKOSE KUTEMBELEA PAGE YETU YA YOUTUBE GUSA LINK KWA BIO YANGU Kindly SUBSCRIBE https://youtu.be/40lNlId1zgA MAFUNZO YETU NI ENDELEVU
Ivonne Odhiambo: Thnx so much i have learned a lot pls show me how to do short weave for beehive
Carolina Robert: Ewaaaaaaaa this is what I needed, thanks madam Farida
Emmy John: Napenda tufundishe na kushonea wiving ya croja
Moses Beatrice: Thanks madam tunaomba utufundishe jinsi ya kushonea kroja
Naomy Godwell: Woow nzuri sana
mary mfugale: Kila siku nazidi kujifunza yaani..asante dada..binafsi naomba utume video inayofundisha jinsi ya kubana knotless hasa kile kidoti kinakuwa kama kimepandiana (sijui kinaitwa kidoti cha ngazi ngapi)
Zawadi Mkumbo: Unafundisha vizuri sana Mungu akubariki binafsi kila siku naongeza ujuzi
sherlyne momi: Asante kwa kushare...naomba utuonyeshe insi yaju fix weave both short na long
Jamillah Lukwamba: waooooo ♥️
Yuster Peter: Nimependa natamani kujua kusuka sijui hata nywele za mkono
Poline Kinya: Hata sijui niliiendea nn shule juu you are actually my teacher najifunzanga na ww thank you darling
ester madinda: Kila sikuu naongeza kitu kipya na ujuzi unaongezeka kwaajili yako Dada anguu Asante Barikiwa sanaa
cecy mugisha: Apo kwenye kuongeza farida sielew Mana namuona anaiweka anasuka kwa juu Kisha kuelekea chin
tausi hamissi: Nimependa
Happy Sarara: Kazi nzuri Sana ongera . Ni mafuta gani unatumia au ni jeli ya aina gani my ningependa kujua
Nasra issa: Mungu azid kukutunza dia kazi nzuri sanaaa
Fatuma Rashidi: Uko vizur na mungu akubariki
Babra Mgaya: Nawapenda jmn natamn nijue Kama nyinyi I really love u drs
Jacob Lulenga: Dada nataman Sana kuja kusomea hapo kwako
Saumu Athuman: Nice job tunajifunza mengi sn
Romy husebius: Nice
Pili Juma: Nawapenda sana
Queenshila Patric: Ninzuri nimeelewa
Dorcas Asha: Hi farida asante sana napenda darasa lako ila niko arusha hongera sana. Maajaliwa nikipata per a nitakuja kujifunza.
Stacy woka: Vipi ,,,nawezaje jiunga nanyi kujifuza kusuka
Joan Akinyi: Shukran Dada umbarikiwe
Grace Faida: Waoooooo
Tin TV: Laki tatu kwa miezi mitatu vp na hostel shingap?
Phyillice Nyambura: Nimependa
Eudo Anthony: Hizi nywele nilikuwa naangaika kweli jinsi gani nizisuke Leo nimepatia
Samirah Mohammed: Nimeenda sana dada
eliza lilumba: Dada mnapatikana wapi ??
Skewa Phaidoni: Nakukubar madam wa mim
Ameena 12: Nice
Yuster Peter: Japo najua vingine hila kusuka natamani sana
Viviane john: Nywele nzur Sana
Hadija Msakuzi: Ndo kwanza nimeanza kukufatilia nitaweza kwakweli
Afizath Sadath: Mamy me naanzisha saluni but sijui kusuka nywele ya lasta nifanye nn
Jennah Yahaya: Mim kusokota najua lkn jinsi ya kuunga nashindwa rasta inaonekna nilipoungia
Ales Makasi: Nzuri
Rose dess: Asante ubarikiwe sana
Vanesa Kanunga: Nzuri mno
vailet peter: Niceee Utupe video jinsi ya kubanaa
Mary Pradius: Unafundisha vizuri sanaa, nahitaji kujifunza kwa vitendo, nataka kijua gharama za hostel kwa muda wa hiyo miezi mitatu nipo mkoani
Rehema Hamisi: Hello.plz niunge kwa whatsup group nataka kusomea online.niko Kenya
Raphael James: Jaman mimi mkono wangu mzito kugeuza lakini nitajua kwa kuwa nina nia
Fransisca Ngomuo: Unafanya vema Sana Mimi napenda mnoo Arusha Amna branch
KING JOHN: Dada upo vizur
Tatu Rajabu: Mashahlla
Sabrina Juma: Hivi dada unaweza ukachukua miez miwili ukalipia maana mm sipo tz nataka nije nikae miez miwili vp naweza lipia miwili alafu nikaondoka au ni had ulipie mitatu
Stompy Munene: Waw
Lilian Peter: Ni nzur saana ila hapo kwenye kuongeza akisha ongeza anavyoisukia ile aloongeza ndo sijaona vizur mkono wake ulikua unazikinga kidogo
Edina Edson: Asant kwa somo hili nimejinza na mimi
Lolo: Kusuka ni shngapi nataka kuja kusuka knotless?
Joyce JOSHUA JAPHET: Wowooo jamani tataka kujifunza mnapatikana wapi
Elisabeth Kadhe: Ni buzuri sana
LEE'S FAMILY: Link ya WhatsApp iko wapi?
Felister Erasto: Umetishaaa
Gloria Dunstan: Mnapatikana wapi nije kusuka jamani ziko poa
almas kicmba: Je nikihitaji kuja kusuka kam hivyo ni bei gan..?
Mariam Shaibu: Nimepnda.sana.nitakja tuombe uzima. My napnda Sana aunaga kazi mbovu
Viviane john: Naomba link ya group wahtspp
Ruler: kusuka vipipi nifundishe
Benjamin Mhehwa: Dada umetisha
Mariam Godfrey: Mwiba wa samaki dada
issac mosses: Eti ni bei gani na UK wapi
Furaha Tarimo: Habar samahani naomba kuuliza una darasa online tofaut na youtube
Mariam Kinunu: Utumbo wauzi
jestina giyupa: Kubana kwakuziban hap juuu alafu unazungusha katikati nywele kidg inakuadje
jestina giyupa: Kwani unatumia mafuta yeyote au jeli
Pili Juma: Natamani kujua nana yakuweka kari
oliver opper: Me naomb kuuliz,,,ukitak kumsuk mtu knotless ni jelly gn inafaa kutumika??
Hadija Issaa: Nataka kujifunza kibutu cha yebo
Eudo Anthony: Me Niko mwanza nitawezaje kupata mafunzo yako???nataka makeup na kubana nywele style mengine najua
Ester Mahita: Upo vizr kwa darasa
Dainess asifiwe: Unaweza ukaanzia jery chini??
Dorothea Mwashilemo: Nywele Kali balaaa
Grace Benedictor: Nataka nijue hiyo nywere Zaid Bado sijaerewa
Tausi Amri: Asante my
Joxeh Philip: Jmn da Frida, Mimi nashindwa jmn kusuka njia tatu ilonyooka jmn
Fatuma Kunguru: Nitaleta mrejesho nimelewa
Faraja Florence: Nataka nijue hizo notres
Rose dess: Asante ubarikiwe sana
Mary Moshi: Samahan dad farida huw unatumia mafut gan wakat wa kusuk knotless
Glory Valerian: Wakati unasuka chini unasuka njia tatu au
Tamasha Nzowa: Ni aina gani ya mafuta yanatumika dear
ayubu samweli: Ukizi Suka zinakaa mdagan
Joseph Joseph: Nzr sana
Saida Ramadhan: dodoma mpo wapi chuo chenu
Jay Fashion: Mm nataka kujifunzaa utumboo npo moro
Elina Sanka: Hakuna group la WhatsApp
Fatuma Chakapu: Nataka kujifunza notresi
happy Daniel: Kusuka ni sh gap??
Wema Xhabani: Jmn mm nmejarbu kumsuka mtu inakua na mawimb hapo napokua naongeza rasta jmn nifanyeje
Labani Makangila: Habari dada farida
Mandu Luiz: Bunda ngap käumia?
Sigmanta Shirima: Nahitaji darasa la WhatsApp
Khadija Suleyman: Naomba link ya group la watsapp
Carolina mrema: samahani dada farida mm naomba unionyeshee vizuri hapo unapoanza na nywele ya mtu