FARIDA OTHMAN: HI LOVE MKO POA NITARUDIA MAFUNZO YA KUWEKA DAWA YA KALI NA NITAJIBU COMMENT ZETU COZ MASWALI YAMEKUWA NI MENGI SO JIANDAE KWA AJILI YA TUTORIAL KUANZIA STEP 1 hadi STEP 3
Tukupasya Leonard: Hapo kwenye kuziosha baada ya kuzikausha unaziosha zikiwa na rollers?
Jesca Deogratias: Dah! Hki kitu nimetafuta sana siku nyingi kujua bila mafanikio.
Asante sana sana Farida.
ZAWADI MGALA: Farida mm kwa nilivyosoma comment za watu mbalimbali za watu na za kwako jinsi ya kuweka curly
Step1.naweka nywele dawa (cold wave)
Step2.nafunga nywele rolas nikiishamfunga rolas anakausha nywele kwa dryer au jua ndani ya dakika 40
Step3. Naosha hizo nywele kwa maji ya kawaida zikiwa kwenye roler
Step4. Baada ya kuosha nampaka hizo nywele neutralize anakaa nayo kwa dakika 15 namuosha then after anausha nywele kwa jua au dryer zikiishakauka. Namtoa rolar anakua amedamshi tayari sijuii mpaka hapo nimekuelewa?
Nuru Rashid: Ukishaosha dawa nakuspray unaeza kausha na drier?
Sudy Sanga: Sister nilikua nauliza nimeona baada ya kuweka rollers ukasema unatakiwa ukaoshe ila sijajua utaosha nywele zikiwa na rollers?
Marie Omary: Ety Dada, samahani na nywele za dawa zinafaa?
Hawa Sesala: Ninefurahia hili somo kiukweli..je ukishaweka dawa kinachofuata ni hiyo spray tu ?
Hellen Nyaki: Je kwa nywele ndogo zaidi ya izi amazon hazifai kueka rollers
Happiness Makombe: Unapoacha ikauke humuweki mteja kwenye dryer au unamuweka maana sijaelewa inakaukaje
zuleikha suleiman: wow ni nzuri nimependa
Moniceriz derick: Inakauka bila kumweka kwenye Drayer??
Jenipher Exavery: Dada hizi lora inawezekana kuzitumia kupata mawimbi kwenye Nywele za dawa ya kawaida
Thabitha Kaluguru: Asante Sana kwa mafundisho, nywele inakauka bila kukaa kwenye Drayer wakati ulipomfunga loras?
FARIDA OTHMAN: JAMANI KWA WALE AMBAO HUWA MNA COMMENT SANA NA KU SHARE VIDEO ZETU plz naomba kutambua uwepo wako nikuunge kwa group letu la whatssp... Hakikisha umeshare video zetu
Yuster Kayombo: Naomba kujua aina nyingine ya dawa za curry tofauti na hiyo,huenda nisiipate Kama hiyo je nyingine ni kama zipi?
phyner de mirrow: Nakupenda sana we dadaasante kwa daraasa
Mun Euros: Iyo dawa uliyoweka, ina maana badae nywele zinakua relaxed au znabaki natural?
Winnie David: Ahsante Sana dadaa Mungu akubarki kwa mafunzo mazur
Hellen Nyaki: Je kwa nywele ndogo zaidi ya izi amazon hazifai kueka rollers
Yuster Kayombo: Baada ya kuweka rola je anakaa kwenye drayer ili kukauka au hakai?
Mariam Kate: Dada Habali yako Naomba Kujifunza Jinsi ya kuweka Dawa ya Kalikiti
Zainabu Abasi: Asante dada unafundisha vizuri
Debrycious shining point: Je hii dawa ikiisha kwenye nywele je zinaweza kurudi kuwa natural kama zaman??
Veron Vera: sorry madam ukiweka kwenye nywele yenye dawa haiwez kukata nywele?
Renah Nanyojo: Asante Dada unafundisha vizuri
Pendo peter: Hii dawa ya curl ukipata nywele zinabaki kua natural au?
Vummy Kweka: Kwahyo hauioshi baada ya kupaka dawa??
Genofeva Grayson: so pretty
Faustina Kusekwa: Asante kwa video nzuri
Esther Jonas: Thank you
Agness Martin: Thank you farida
Nasra issa: Nimeipenda aisee
Magreth Ngusulu: Zinakauka bila kukaa kwenye drayer
Beatrice Ulomi: Curl siku izi lazima uoshe kwanza ndio ufunge lolazi na ukiweka newrolize Ni 15dk unaiosha aitakiwi kubaki kweny nywel
Lwova Tito: What's kalkiti in English
Elizabeth Andrew: Ntakuja dada nmependa uko vzuri
MAUWA LIDYA: Jambo dada nauliza je ukiweka iyo step namb 3 utakiwi kuzihosha tena nywele?
Brandy Ruto: Na lolazi ya curl naomba unielekeze vizuri jinsi ya kufunga
Grace Mushi: Baada ya kuweka dawa haiingii kwenye stima
Faraja Paul: Maswali yamekuw mengi dada .sisi tusiojua kabisa tunashndw kuelew
Neema Sapiyo: Nice
Queen September: Mtu mwenye relaxed hair anafaa kubadili kwenda kwenye curl?
Comments
FARIDA OTHMAN: HI LOVE MKO POA NITARUDIA MAFUNZO YA KUWEKA DAWA YA KALI NA NITAJIBU COMMENT ZETU COZ MASWALI YAMEKUWA NI MENGI SO JIANDAE KWA AJILI YA TUTORIAL KUANZIA STEP 1 hadi STEP 3
Tukupasya Leonard: Hapo kwenye kuziosha baada ya kuzikausha unaziosha zikiwa na rollers?
Jesca Deogratias: Dah! Hki kitu nimetafuta sana siku nyingi kujua bila mafanikio. Asante sana sana Farida.
ZAWADI MGALA: Farida mm kwa nilivyosoma comment za watu mbalimbali za watu na za kwako jinsi ya kuweka curly Step1.naweka nywele dawa (cold wave) Step2.nafunga nywele rolas nikiishamfunga rolas anakausha nywele kwa dryer au jua ndani ya dakika 40 Step3. Naosha hizo nywele kwa maji ya kawaida zikiwa kwenye roler Step4. Baada ya kuosha nampaka hizo nywele neutralize anakaa nayo kwa dakika 15 namuosha then after anausha nywele kwa jua au dryer zikiishakauka. Namtoa rolar anakua amedamshi tayari sijuii mpaka hapo nimekuelewa?
Nuru Rashid: Ukishaosha dawa nakuspray unaeza kausha na drier?
Sudy Sanga: Sister nilikua nauliza nimeona baada ya kuweka rollers ukasema unatakiwa ukaoshe ila sijajua utaosha nywele zikiwa na rollers?
Marie Omary: Ety Dada, samahani na nywele za dawa zinafaa?
Hawa Sesala: Ninefurahia hili somo kiukweli..je ukishaweka dawa kinachofuata ni hiyo spray tu ?
Hellen Nyaki: Je kwa nywele ndogo zaidi ya izi amazon hazifai kueka rollers
Happiness Makombe: Unapoacha ikauke humuweki mteja kwenye dryer au unamuweka maana sijaelewa inakaukaje
zuleikha suleiman: wow ni nzuri nimependa
Moniceriz derick: Inakauka bila kumweka kwenye Drayer??
Jenipher Exavery: Dada hizi lora inawezekana kuzitumia kupata mawimbi kwenye Nywele za dawa ya kawaida
Thabitha Kaluguru: Asante Sana kwa mafundisho, nywele inakauka bila kukaa kwenye Drayer wakati ulipomfunga loras?
FARIDA OTHMAN: JAMANI KWA WALE AMBAO HUWA MNA COMMENT SANA NA KU SHARE VIDEO ZETU plz naomba kutambua uwepo wako nikuunge kwa group letu la whatssp... Hakikisha umeshare video zetu
Yuster Kayombo: Naomba kujua aina nyingine ya dawa za curry tofauti na hiyo,huenda nisiipate Kama hiyo je nyingine ni kama zipi?
phyner de mirrow: Nakupenda sana we dadaasante kwa daraasa
Mun Euros: Iyo dawa uliyoweka, ina maana badae nywele zinakua relaxed au znabaki natural?
Winnie David: Ahsante Sana dadaa Mungu akubarki kwa mafunzo mazur
Hellen Nyaki: Je kwa nywele ndogo zaidi ya izi amazon hazifai kueka rollers
Yuster Kayombo: Baada ya kuweka rola je anakaa kwenye drayer ili kukauka au hakai?
Mariam Kate: Dada Habali yako Naomba Kujifunza Jinsi ya kuweka Dawa ya Kalikiti
Zainabu Abasi: Asante dada unafundisha vizuri
Debrycious shining point: Je hii dawa ikiisha kwenye nywele je zinaweza kurudi kuwa natural kama zaman??
Veron Vera: sorry madam ukiweka kwenye nywele yenye dawa haiwez kukata nywele?
Renah Nanyojo: Asante Dada unafundisha vizuri
Pendo peter: Hii dawa ya curl ukipata nywele zinabaki kua natural au?
Vummy Kweka: Kwahyo hauioshi baada ya kupaka dawa??
Genofeva Grayson: so pretty
Faustina Kusekwa: Asante kwa video nzuri
Esther Jonas: Thank you
Agness Martin: Thank you farida
Nasra issa: Nimeipenda aisee
Magreth Ngusulu: Zinakauka bila kukaa kwenye drayer
Beatrice Ulomi: Curl siku izi lazima uoshe kwanza ndio ufunge lolazi na ukiweka newrolize Ni 15dk unaiosha aitakiwi kubaki kweny nywel
Lwova Tito: What's kalkiti in English
Elizabeth Andrew: Ntakuja dada nmependa uko vzuri
MAUWA LIDYA: Jambo dada nauliza je ukiweka iyo step namb 3 utakiwi kuzihosha tena nywele?
Brandy Ruto: Na lolazi ya curl naomba unielekeze vizuri jinsi ya kufunga
Grace Mushi: Baada ya kuweka dawa haiingii kwenye stima
Faraja Paul: Maswali yamekuw mengi dada .sisi tusiojua kabisa tunashndw kuelew
Neema Sapiyo: Nice
Queen September: Mtu mwenye relaxed hair anafaa kubadili kwenda kwenye curl?
Maryam Fakhi: Nice
Hopu Alex: Nashukuru Dada nimejifunza
Mariam Mwasha: Hz product ulizotumia mbona hujatuonyesha vzr? Naomb jitahid majina yake nikanunue plz
Elizabeth Daniel: Hongera dada nimeelewa hilo somo
Pendo Justin: Oyoooooooooooooooo thanks my dear
Stella Eliah: Na bei za rorazi je na arusha napataje?
Fatuma Issa hongera: Kwa maana ni dawa yoyote au dawa maalum
Mugisha Sandrine: Vizuri napenda
Mkunde Marandu: Naomba kuuliza hi dawa ya Carl unaosha?maana hapa nimeona unaweka dawa then rola sijaelewa mi mgeni kwenye hli soma
Joyce John: Asante mpenzi ila sijaelewa unafunga rolas nywele ikiwa na dawa alafu ukae kwenye draya au inakuaje
Winnie David: Dada Mungu akubarki mnoo Sasa cjaelewa baada ya kuweka kari unaosha Kwanza ndo uweke Lora au huoshi
Jennifer Maiseli: Hyo curl hua ainguzi naona km rola zinafungwa kabla ya kuosha au sio,naomba kueleweshwa hapo
Merry Lameck: Dada farida plz naomba jibu ukiweka dawa unafunga rolas pamenichanganya kidogo, unatoa rolas alafu unaosha ama unaosha na rolas??
Pendo Bugalama: Nyie mnaweka dawa beigani
Marry Patrick: Samahani Dada dawa hii inakuza nywele?
Agnes Mbemba: Naomba kujua bei ya kuweka curl ikiwa ndo mara ya kwanza na pia kuweka curl kwa mara nyingine
Smart Beauty:
Patricia Peter: Samahan dada unaweka rola nywele ikiwa na dawa
Victor Anangisye: Asante sana
Jema Sabibi: Umesema unaosha
Edna Rajabu: Kwa nywele ya dawa iliyootea haifai?
Mwanamkasi Omari: Mimi nimependa na nithitji hizo rollar
Yuster Kayombo: Hii dawa kichwani inakaukia tu hewani au kwenye drayer?
Zainab Mlimbo: Samahani dada umemkausha huyomteja kwenye draya?
Josephine dowela: Ukiweka dawa uoshi
Godwin Godfrey: Ukishaweka dawa ukafunga rolas unaosha nywele ikiwa na rolas zake ?
Pendo Kaaya: Sijaelew namana ya kuosha
Sudy Sanga: Samahani hizo rollers unaweka kabla hujaosha dawa ulioweka mwanzo
Isabela Adeleke: Lakini mbona ukuonyesha unavyoziosha na kukausha?
Vanessa John: Nywele unafunga rollers kabla ya dawa kutolewa
S. Furaha Sophie .Official: Nataka kuhuliza ukishaweka Cali yako inabidi kuwa nanyunyuzia maji kila mara ao?
winnie braidstz: unaacha ikauke yenyew au unamweka kwenye dryer
Brandy Ruto: Kama nywele ambayo ina dawa ila imeota unawekaje curl
Winfrida Boniface: Dawa uliyopak n dawa ya kawaida km sofrefree au inadae yake
Ivyonne Kapinga: Naomba kuuliza Farida inamaana nywele inawekwa rollers ikiwa bado haijaoshwa na kutolewa hio dawa?!
Julieth Tuyele: Samahan sijaelew nywel zinaoshwa zikiw kwenye Lola?
Glory Khalifa: Ukiweka iyokalikiti uwoshi
Faraja Paul: Umejua kunifurahish asbh asbh dada..
Esther Ngulu: Wakat anafunga rola wakat huo bado hajaosha dawa
Brandy Ruto: Kwa iyo ukiweka dawa nywele aiyoshwi ama maana sijaelewa
Nadia Abdallah Salim: Ahsanteee
Elizabeth Daudi: Asant mafunzo mazur sana.pia naomba utuonyeshe namna ya kutoni mawiving samahan
Zuhura Ally: Kwahiyo unaacha ikauke bila kuweka kwenye draya
Faustina Kusekwa: Dfarida ukimaliza kuweka rola unaosha hivyo hivyo alafu ndio unàkausha
Simone Mussa: Mmmh inamaana hii kalikiti ukishamaliza kuiweka na ukaikausha unatakiwa tena kuiosha
Happy Magige: Je Ni lazima kutumia Lola izo au zozote
Veronica Wanza: Nice Farida naomba kujua jinsi ya kushuka mkeka
Lizy heroine: Mbona umeweka step 2 tyuuu
Fatuma alphan: Eti zinaoshwa zikiwa na rolaz zake
Juliana Lwoga: Hii step Ni fupi....Mi nawekaga kali Ila huwa ina steps nyingi sana hadi kumaliza...Mara kusponge au kuna diff procedure
Emerance Makanda: Ukitaka kuosha unaosha n'a maji ya vugu vugu ao ya baridi?
Jenister Paul: Nywele yenye dawa inafaaa kuweka kalikiti?
Faraja Owden: Mimi sijaelewa hapo unaosha ikiwa kwenye roras bado
Sabina Mkwama: Kwahy dda nywele unaziosha kwanza af ndy unawekA dawa?
Rachel Chansa: Dawa gani unatumia
Abdallah Juma: Naomba kuuliza ina maana unaikausha kwa draya ikiwa na dawa
Annajoyce Deogratius: Da farida ili somo halijaeleweka maswali yamekiwa mengi tunaomba liludiwe